Thursday 27 August 2015

Fanya Mazoezi Haya kwa Wiki Tatu Kuongeza Nguvu za Kiume!

Kuna jambo linanishangaza sana, utakuta mwanaume anapata muda wa kukaa kitako muda wa dakika tisini au zaidi akiangalia mpira, au masaa manne, matano na wengine wanakesha kabisa katika baa wakinywa na kula tu, lakini wanasahau kabisa kutenga muda tena mdogo tu kama dakika tano mpaka nane kwa siku kwa ajili ya kuimarisha nguvu za kiume kwa kufanya mazoezi ya kuongeza nguvu za kiume.

Mwanaume anefanya mazoezi ya kuimarisha misuli ya uume hawezi kuwa sawa na mwanaume asiyefanya mazoezi haya sio tu katika kuimarisha nguvu zake za kiume lakini pia kuweza kujitawala katika tendo la ndoa na kuweza kumfikisha mwanamke katika raha ile inayotakiwa.
Mazoezi  haya yakifanywa kwa dhati yanaweza kumpa mtu matokeo mazuri sana ilimradi afuate utaratibu atakao takiwa aufuate.
Hizi ni miongoni mwa faida zinazopatikana kwa kufanya mazoezi haya ni hizi zifuatazo:
Kwanza humpa uwezo mwanaume kuweza kusimamisha uume wake kwa muda mrefu zaidi kuliko ambavyo alikuwa anaweza kuusimamisha  kabla ya kufanya mazoezi haya.
Pili mazoezi haya hufanya mtiririko wa damu kwenye uume uwe mzuri hivyo kuufanya uume uwe na nguvu na kuondoa kabisa tatizo la nguvu za kiume.
Tatu humpa uwezo mfanyaji wa mazoezi haya kukawia kumwaga mbegu hivyo kumpa nafasi mwanamke aweze kufikia katika kilele chake pasi na kumkatishia njiani.
Vifaa Unavyohitaji
1.   Mafuta ya mizeituni (Olive Oil) au mafuta ya nazi au Alizeti au mafuta ya mgando (gel)
2.   Jiko  lolote ili upate mvuke wa kutosha unaweza kutumia jiko la mchina, stove, au hata la mkaa lakini isiwe moto mwingi uwe kiasi tu lengo ni mvuke
3.   Kitambaa kisafi na laini na maji safi ya uvuguvugu

Namna ya kufanya mazoezi ya Kuongeza nguvu za kiume
1. Loweka kitambaa chako katika maji ya uvugu vugu kisha anza kwa kuusafisha uume wako kwa kitambaa laini cheye maji ya uvugu vugu kama unauchua uume kwa kuuvuta mbele. Fanya zoezi hili kwa dakika tatu.

2.  Pakaa mafuta yako kwenye viganja vyako viwili vya mikono yako kama vile unataka kujipaka mafuta mwilini.

3.  Weka viganja vyako ili vipate mvuke wa moto kutoka katika ama jiko la mchina, stove au kitu chochote utakachotumia. Ukiona viganja vimepata joto kiasi cha kutosha siyo mpaka uungue mikono, kisha

4.  Kamata uume wako ukiwa unauchua kwa kuuvuta mbele kwa nguvu kidogo sana ukianza na mkono wa kulia alafu wa kushoto au kushoto halafu kulia vile utakavyoona inafaa. Joto kwenye mikono likiisha rudisha mikono yako uipashe tena ili ipate joto kisha rudia  kuuvuta vuta tena uume kwa muda wa dakika kumi.
Kumbuka
Mazoezi haya hufanywa mara mbili asubuhi tu mtu ukiamka na wakati ukitaka kwenda kulala na ni kwa muda wa wiki tatu. Utaona matokeo yake.



22 comments:

  1. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
  2. shukrani kwa elimu nzuri
    endelea kutujuza mkuu

    ReplyDelete
  3. Tunaomba feedback kwa mlio jaribu

    ReplyDelete
  4. Tunaomba feedback kwa mlio jaribu

    ReplyDelete
  5. mkuu hii sasa si punyeto kabisa hii

    ReplyDelete
  6. mkuu hii sasa si punyeto kabisa hii

    ReplyDelete
  7. Mkuu hii si punyeto sasa inakuwa?

    ReplyDelete
  8. KWA MATIBABU YA MAPUNGUFU YA NGUVU ZA KIUME ,,KUREFUSHA NA KUNENEPESHA UUME..UGUMBA.HEDHI ISIYO NA MPANGILIO....UCHAFU NA MAJI MENGI UKENI.UTI,,PID,,PUMU,,MOYO,,BP,,TB,,KISUKARI MVUTO WASILIANA NA DR TIBA ASILI 0764839091

    ReplyDelete
  9. Nikifanya hivi ikitokea kumwaga mbegu sio itakua nimepiga punyeto??

    ReplyDelete
  10. Sawa mkuu Nina swali kidogo hapa demu wangu tukifanya tendo landoa hwa anackia kujikuna sehemu zacri naomba ushauri

    ReplyDelete
  11. Sasa.... Haya ni mazoez ya kuongeza nguvu za kiume au vp...... Maana mm nimeyafanya haya kwa izo wiki tatu ila cha kushangaza sijaongezeka nguvu zozote za kiume....... Ila uume wangu umeongezeka kwa nchi Mbili 2inch... Na imepakuka kwa unene wa 5Cm

    ReplyDelete
  12. Duh...hii ni punyeto ..na punyeto inapunguza nguvu za kiume

    ReplyDelete
  13. Anawaambia mfanye hvyo mkishafanya mnapatwa namatatzo afu anarudi tena anasema anauza dawa ili mmungishe

    ReplyDelete