Saturday 26 September 2015

Usiteseke na Jino linalouma, Tiba Hii Hapa!

Meno ni muunganiko wa mfupa wa jino, Fizi na Mishipa. Maranyingi watu wengi huwa pale wanapoumwa na jino wanakimbilia kung’oa jino eti dawa ya jino kuling’oa jambo ambalo si kweli.
Tambua ndugu yangu kuwa unapokwenda kung’oa jino unang’oa Mfupa sio Fizi wala mishipa ambayo hakuna madhara kwa bakteria anaesababisha jino kuuma.
Tambua kuwa kwenye kinywa cha mwanadamu kuna bakteria wanaoishi mdomoni wanaitwa NORMAL FRALER. Bakteria hawa ndio wanaotengeneza ute wenye Acid unaolainisha chakula kwa haraka mdomoni. Na ndio kazi yao. Lakini wanasababisha ugonjwa unaoitwa GINGIVAITES, ugonjwa huu husababisha fizi kutoa damu haswa unapopiga mswaki, lakini ukiachwa ukawa sugu unasababisha ugonjwa wake kuwa sugu na hujulikana kama MACHODIFECE ugonjwa huu husababisha na hufanya meno kuoza, ama kutoboka kutokana na bakteria AFINOTOBALASAD ndio wanaosababisha na huwa wanaingia ndani kwenye fizi kwa ajili ya kula damu. Hapo ndipo mtu hupatwa na tatizo la  kuumwa na jino au meno.
 Ili kuondoa tatizo hili, ni lazima uwaue hao bakteria na si kong’oa jino kwani wadudu hao walivyo unapong’oa jino moja wao huwa wanahamia jino jingine.
Tiba rahisi ya jino au meno yanayouma bila kung'oa wala kutumia dawa za hospitali tumia mojawapo kati ya hizi hapa:
  1. Tengeneza na kunywa juisi ya bilinganya (Bringal).
  2. Jino linalouma au fizi zilizovimba: Ponda ponda tangawizi mbichi kisha itie chumvi. Weka kwenye jino linalouma au fizi ilipovimba.
  3. Saga majani makavu ya mint kutengeneza unga wake, kisha tia chumvi na weka kwenye jino linalouma.
  4. Saga karafuu kuwa unga. Weka kiasi cha unga huo kwenye jino linalouma. Pia kama una mafuta ya karafuu, chukua nyuzi za pamba (cotton wool) chovya kwenye mafuta hayo na weka wool hiyo kwenye jino linalouma.
Tiba hizi tunazo majumbani kwetu tunamoishi lakini tumekuwa hatujui kuwa ni tiba, badala yake huwa tunakimbilia kung'oa meno yanayouma! CHANGAMKA!



27 comments:

  1. Nkiweka inachukua muda gani kwa jino linalouma kupoa

    ReplyDelete
  2. Kwa ile ya tangawizi na chumvi

    ReplyDelete
    Replies
    1. 0712300347 kama dawa unaijua Dada naomba unisaidie na mn

      Delete
    2. Ahsante mtaalam, maana meno yanatutesa kwakweli

      Delete
  3. Naumwa sana jino nitumie gangawizi au karafuu kiasi gani ili niweze kungwa

    ReplyDelete
  4. Hiyo ya tangawizi na chumvi unaweka mara ngapi kwa siku na unatumia kwa siku ngapi kama dozi?

    ReplyDelete
  5. Je kama jino halijatoboka na linauma na dawa inatakiwa kwenye jino lililotoboka

    ReplyDelete
  6. na je visiki vinavyoumampk mishipa

    ReplyDelete
  7. Shida ya hawa ndugu zetu wanablog wanafungua blog yenye mambo mengi mazuri na yenye manufaa kwa jamii baadae wanaziacha blog zao bila kuzifatilia kujua wasomaji wana maoni gani au hata wanaziacha bila kuziendeleza na kuongezea mada zengine zenye faida.
    Kwamfano kama blog hii Ndugu yetu Philipo Zabuli ameachiwa maswali na wafuasi wake yanayohusu tiba ya meno lakini mpaka leo hii hamna aliyejibu maswali yao.

    ReplyDelete
  8. Acheni kupata shida. Mm ninadawa nzuri sana ya kutibu jino. Huts ng'oa andaa pesa yako na inatibu haraks imepitia maabara. Mpunjijuma@gmail.com

    ReplyDelete
  9. Daaaa! yawezakua kwel ila mimi meno mawl yalioteana sa pale katkat ya jno moja na jngne ndo kumeleta shida kunauma sana je? tiba yaweza kua ka zilizo orodheshwa hapo juu?

    ReplyDelete
  10. Dawa nzuri ya jino ambalo halijatoboka
    Chukua mizizi ya mmea unaoitwa ndulele au wengne huuita mtunguja au ntula kisha ioshe miziz yake kuondoa udongo kisha ichemshe kwenye maji baada ya kuchemka maji na miziz shusha kisha acha mpka yawe ya vuguvugu halafu chukua tawi ama stem ya mmea huu kisha tengeneza kuwa mswaki wa mti kisha piga mswaki huu kwa kutumia maji Yale ya vuguvugu,,,,tumia mara mbili kwa siku pia utaona mabadiliko pale tu utakapoanza kutumia,,,tumia kwa muda wa cku tano hata kama utaona umepona

    ,,,,shukran

    ReplyDelete
  11. Dawa nzuri ya jino ambalo halijatoboka
    Chukua mizizi ya mmea unaoitwa ndulele au wengne huuita mtunguja au ntula kisha ioshe miziz yake kuondoa udongo kisha ichemshe kwenye maji baada ya kuchemka maji na miziz shusha kisha acha mpka yawe ya vuguvugu halafu chukua tawi ama stem ya mmea huu kisha tengeneza kuwa mswaki wa mti kisha piga mswaki huu kwa kutumia maji Yale ya vuguvugu,,,,tumia mara mbili kwa siku pia utaona mabadiliko pale tu utakapoanza kutumia,,,tumia kwa muda wa cku tano hata kama utaona umepona

    ,,,,shukran

    ReplyDelete
  12. Ni kweli zote hizo zinafaa lakini chamsingi ni kuzingatia afya ya kinywa. Ukija kwangu lazima nikupe elimu ndo upate dawa.

    ReplyDelete
  13. sa tumuamini nan??????????????

    ReplyDelete
  14. Mm jino langu lina shimo sili silali maumivu kwa sana ntumie nn hapo

    ReplyDelete
  15. Mm jino langu lina shimo sili silali maumivu kwa sana ntumie nn hapo

    ReplyDelete
  16. Jaman wenye blog mjitahidi kufuatilia maswali ya waty

    ReplyDelete
  17. Mimi ninajino limetoboka na linauma sana nishatumia vidonge wap nisahidien ndg zng

    ReplyDelete
  18. Enter your comment...kitu cha mhimu hapo ni usafi wa kinywa pia naamini kuwa kila dawa iliyotajwa hapo juu ukiitumia vizur unaweza pona kabsa

    ReplyDelete
  19. Mimi meno yanauma na mengine nishawahi kutoa maumivu mpaka katika sikio hasa msimu wa baridi nifanye dawa ipi

    ReplyDelete
  20. Juice ya bilinganyi unaingiza na kitu gani au unasaga bilinganyi tu

    ReplyDelete
  21. Kutana na mtaalamu wa mitishamba anatibu ugumba ...kukuza uume kukuza shape hips na makalio...kupata mimba pacha ..matibabu ya jino bila kung'oa . Miguu kuwaka moto..pumu tb...kifafa...mpigie 0744903557 tanga

    ReplyDelete