Sunday 29 November 2015

Tengeneza na Tumia 'Herbal Facial Mask' Kwa Ngozi Nyororo

Nimekuwa nikipokea maswali mengi hususan kutoka kwa akina dada kuhusu namna ya kufanya laini au nyororo ngozi zao za uso na kuondokana na chunusi (acne) au mikunjo ya ngozi (wrinkles) au miwasho. Najua wengi wamehangaishwa na chunusi, miwasho au mikunjo ya ngozi usoni na wametumia mafuta au madawa mbalimbali, yamkini mengine yenye kemikali.

Ngoja nitoe maelekezo ya jinsi ya kutengeneza 'herbal facial mask' isiyo na kemikali yoyote zenye madhara kwa mwili wa binadamu.  Haya fanya haya yafuatayo:
- Changanya unga wa tangawizi (powdered ginger) vijiko viwili vidogo na vijiko vinne vya asali (kama una ngozi kavu - dry skin) au juisi ya ndimu freshi (kama ngozi yako ni ya mafuta mafuta).
- Koroga kutengeneza paste.
- Paka usoni, ukiwa makini na maeneo ya mdomo na macho.
- Kwa matokeo mazuri zaidi acha mask ikae kwa dakika 15. Baada ya hapo safisha uso wako wa maji vuguvugu. 
- Baada ya hapo unaweza kutumia 'Papaya exfoliant' kulainisha zaidi ngozi. Papaya exfoliant unachukua uji uji wa nyama ya ndani ya papai. Paka usoni na uiache kwa dakika 15 kisha uoshe uso. 
Hakika ngozi ya uso wako itakuwa murua haswaaa...   

Saturday 28 November 2015

Hii Ni Chai Ya Ajabu Inayosafisha TakaSumu Mwilini na Kutibu Magonjwa Mbalimbali


Miili yetu inaathiriwa na taka sumu (toxins) kutokana na vyakula tunavyokula, mabaki ya vyakula mwilini baada ya chakula kuyeyushwa na sumu zilizopo katika mazingira tunayoishi au kufanya kazi. Sumu hizi huendelea kuongezeka kiwango kadri muda unavyopita na hatimaye kupatwa na magonjwa makubwa kama vile shinikizo la damu, miguu kuuma, saratani, nk.
Dalili za watu wengi wenye matatizo yatokanayo na mwili kulemewa na sumu mwilini ni hizi:



  1. Tatizo sugu la choo kigumu (constipation)
  2. Kichwa kuuma kwa muda mrefu,msongo wa mawazo,hasira za mara kwa mara,ukosefu wa usingizi nk
  3. Misuli kuuma sana na uchovu usio ambatana na dalili za msingi za magonjwa ambukizi kama malaria UTI nk
  4. Tumbo kujaa gesi
  5. Vichocheo vya kike kuvurugika na kupelekea kupata ugumba
  6. Kukosekana na nguvu za kiume
  7. Kutopungua uzito hata pale unapukuwa unafuata mlo sahihi
  8.    Sukari,presha kutoshuka bila kujali upo kwenye matibabu
  9. Allergy na vyakula mbalimbali na mafua ya muda mrefu
  10.  Magonjwa sugu ya ngozi kama pumu ya ngozi,psoriasis,vertiligo nk
Inaweza kuwa hauna dalili hizo lakini ni busura kujua kuwa upo katika mazingira hatarishi na inaweza kuwa ukawa na kiwango flani cha sumu hizi ambapo kiwango tu kinachohitajika kuleta dalili hakijafikiwa,kikifikiwa dalili utaziona.

 Nina habari njema kwako mpendwa. Tunayo Chai ya Ajabu (Detox Tea) yenye faida tiba mbalimbali mwilini kama hizi:
  • Hutoa(flush out) taka sumu mwilini kupitia figo. Umewahi kusikia tatizo la figo kufeli yaani kushindwa kufanya kazi? Tatizo lilianza na mlundikano wa taka sumu kwenye figo.
  • Hutibu tatizo la choo kigumu au kukosa choo na chakula kushindwa kuyeyuka mwilini (Poor digestion).
  • Hutibu maumivu ya viungo na maumivu ya miguu au miguu kuwaka moto.
  • huepusha kupatwa na saratani (Cancer).
  • Husaidia kuondoa tatizo la kukosa usingizi (insomnia).
  • Hushusha blood pressure (BP) iliyopanda
  • Hutibu maumivu ya tumbo kwa watoto.
  • Hutibu maambukizi ya kibofu na njia ya  mkojo, kama vile UTI.
  • Huchochea afya ya mfumo moyo na mishipa ya damu (cardiovascular system).
  • Hutibu tatizo la tumbo kujaa gesi (bloating)
  • Ina antioxidants na bioflavonoids nyingi sana.
  • Haina caffeine.
Chai hii inafaa kwa mtu yeyote kwani sio mpaka usubiri upatwe na tatizo ndio uhangaike kutafuta tiba kwenye taasisi za afya tena kwa gharama kubwa yamkini. 

Bei ni Nafuu Sana Kulinganisha na Faida zake Lukuki.

Nipigie kwa simu: +255 688 30 88 40   

Sunday 8 November 2015

Juisi ya Limao na Iriki kwa Tiba ya Baridi Yabisi (colds), Mafua (Flu) na Vidonda vya Koo



Umewahi kupatwa na Baridi yabisi (Colds), Mafua (Flu) au Vidonda vya Koo (Tonsillitis)? Mara moja utawaza kukimbilia duka la madawa kununua dawa! Lakini mbona jikoni kwako kuna dawa? Jikoni kwako au katika kibanda cha jirani kunapatikana limao (lemon) na iriki (ginger) ambavyo ni ingredients nzuri kwa kutengeneza juisi inayoitwa 'Hot Ginger Lemonade' ambayo ni tiba nzuri sana kwa magonjwa au matatizo hayo!
Jinsi ya Kutengeneza: Katakata Iriki vipande vipande kiasi cha kujaza kikombe kidogo. Weka vipande hivyo kwenye maji lita moja na chemsha kwa dakika 10 hadi 15. Kisha ipua na miminia juisi ya limao uliyoikamua (fresh-squeezed lemons) na weka asali kwa ajili ya utamu. Nyunyizia unga kidogo wa pilipili (cayenne pepper). Dawa yako iko tayari. KUNYWA! Unaweza kutumia mara tatu kwa siku hadi upone.

Thursday 5 November 2015

MWANAMKE FANYA MAZOEZI YA KUKAZA MISURI YA UKE

black is beautiful 6 Black is Beautiful (36 Photos)
Kama ilivyokuwa kwa baadhi ya wanawake kuwasema na kuwacheka wanaume wenye “vibamia” hali kadhalika na wao huwa wanacheka na kusema wanawake wenye “Kuma” kubwa/pana wakidai kuwa hawafurahii kwa vile haibani na kupoteza ule msuguano ambao ndio chanzo cha raha na hatimae utamu.

Natambua kuwa ni jambo linalotia aibu kama ilivyokua kwenye suala zima la ngono lakini hili ni tatizo ambalo linasumbua wanawake wengi. Hili tatizo mara nyingi hutokea au kujitokeza mara baada ya kuzaa watoto 2 na kuendelea.
Hakuna sababu ya wewe kuona aibu ikiwa una tatizo hili hasa pale unapokwenda kumuona daktari wako kwani wanatambua kabisa nini huwa kinatokea baada ya kuzaa.
Ukiwa mtu wa kufanya mazoezi au ulikuwa mtu kwa kufanya mazoezi kabla hujapata mtoto huwa rahisi kurudisha u-tight wa misuli ya uke wako kwa kufanya mazoezi ya kukaza misuli ya tumbo pamoja na yale maalumu kabisa yanayoitwa Kegel.

Zoezi hili limepewa jina la Kegel baada ya Dr.Arnold Kegel ambae ni “Obstetrician” alietambulisha zoezi hili kama sehemu ya kuwasaidia akina mama wajawazito kuboresha na kukaza misuli ya uke ambao huwasababishia kuvunjwa kwa mkono pale wanapocheka, kohoa, piga chafya n.k. mara baada ya kujifungua.

Baada ya miaka michache imegundulika kuwa zoezi hilo lijulikanalo kama Kegel husaidia kurudisha “mnato” wa uke pia na wengi hufanikiwa kurudisha ule “u-tight” wa uke hali inayowafanya wajiamini wanapofanya mapenzi na vilevile kuwafanya wapenzi wao na wao wenyewe kufurahia kama ilivyokuwa awali (kabla ya kuzaa).

Misuli inayofanyiwa zoezi hili ni ile iliyozunguuka uke, njia ya mkojo na sehemu ya haja kubwa(mkundu).
Unajua unapokunya (toa haja kubwa) ile ngumu au hata ya kawaida huwa huliachii mpaka liwe reefu kama na mara nyingi unakata kimba hilo, ukilikata lile "javi " sehemu yako ya nyuma (mkundu) inakuwa kama vile ina "hema" au "inamwenyua-mwenyua" samba-mba na ile ya mbele....sasa unatakiwa kufanya hivyo mara nyingi uwezavyo ukiwa mahali popote na sio wakati unakunya. Lakini kumbuka ku-hold na kuachia....sio unafanya haraka-haraka ili uwahi kumaliza.

Hali hiyo ya mkundu na Kuma "kuhema" pia hujitokeza wakati ukisikilizia utamu wa kufanya mapenzi mara tu baada ya uume unapotolewa haraka ukeni pale unapofika.....hasa ikiwa Mpenzi anataka kumaliza lakini kwa nje.
Vilevile unaweza ukalifanya zoezi hilo kila unapokwenda kukojoa, jaribu kuzuia mkojo usitoke kwa kutumia misuli yako ya uke kwa muda wa dakika fulani....kwamba uzuie kisha hesabu 1....2....3....4...5...6 kisha uachie na rudia tena mpaka mkojo wote uishe.

Zoezi hili halifanywi na wenye uke mpana na wenye maji-maji mengu tu bali na mwanamke yeyote ili kuboresha maisha yake ya kingono na mpenzi wake.
Ikiwa unafanya haya mazoezi mara kwa mara yatakusaidia kumpatia mpenzi wako kilele cha maana kwa kubana-vuta na kukamua uume wake kila unapo ingia deep inside na vile vile kunaendeleza mnato wako na ikiwa wewe ni kati ya wale wanawake wenye maji-maji mengi basi unaweza kutumia misuli yako hiyo kuubana uume na kumpatia utamu na raha mpenzi wako ambayo hajawahi kuipata toka umaji-maji ujitokeze.

Nitajuaje kama nimepatia?
Ni rahisi, ingiza kidole kisha fanya Kegel na utahisi kidole chako kikibanwa na kuachiwa.
Fanya zoezi hili kila siku, mahali popote na utapata matokea(utaona mabadiliko) ndani ya miezi miwili hadi minne kwa wale wenye uke mpana.

Ikiwa wewe uke wako uko sawa (sio mpana)na unafanya Kegel ili kuongeza raha ya kufanya mapenzi basi itakuchukua wiki moja. Hakikisha unafanya zoezi hili kila wakati unapofanya mapenzi na hakikisha anapokaribia mbane-mwachie na kamua "cream" yote.

Pia Kegel inaweza ikafanywa kwa kulala chali, weka mikono huku nahuku kisha ipumzishe kwenye sakafu alafu kunja miguu yako sehemu ya magoti na vikanyagio viwe sambamba kwenye sakafu kisha inua kiwili-wili chako kwenda juu baki hapo juu (huku ukiwa umebana msuli ya uke kama vile unazuia mkojo usitoke) kwa muda kisha rudi chini na rudia tena kadiri uwezavyo.

Monday 2 November 2015

Kifafa cha Mimba (Preeclampsia, eclampsia)

Kifafa cha mimba ni ugonjwa unaohusiana na msukumo mkubwa wa damu (high blood pressure) wakati wa ujauzito pamoja na kuharibika kwa viungo muhimu mwilini kama vile figo na ini. Kwa kawaida ugonjwa huu hutokea baada ya nusu ya kwanza ya ujauzito kuisha (kuanzia wiki ya 20 au miezi mitano ya ujauzito).
Ugonjwa huu huweza kuwatokea hata wajawazito ambao hawakuwa na tatizo la msukumo mkubwa wa damu kabla ya ujauzito.

Ugonjwa wa kifafa cha mimba unaweza kuleta madhara makubwa kwa mjamzito na mtoto aliye tumboni. Kuharibika kwa viungo muhimu kama figo na ini la mjamzito kunaweza kuwa kwa kiwango kikubwa kichoweza kusababisha mjamzito kupoteza maisha iwapo hatapata huduma ya afya mapema. Vilevile mtoto aliye tumboni anaweza kuathirika kwa kukosa damu ya kutosha toka kwa mama na kushindwa kukua vizuri na iwapo hali hiyo ikiendelea muda mrefu anaweza kufia tumboni.

Kutokana na hatari kubwa ya ugonjwa huu kwa wajawazito na watoto walio tumboni, inashauriwa kila mjamzito awe anahudhuria clinic na kupimwa msukumo wa damu (blood pressure) na mkojo ili kuhakikisha kuwa yuko salama. 
Iwapo kipimo cha msukumo wa damu ni kikubwa kuliko 140/90 mmHg, ni muhimu kurudia kipimo hicho baada ya muda na kufanya vipimo vingine vya maabara vinavyoweza kujulisha uwepo wa kifafa cha mimba.


Kwa kawaida ugonjwa huu huwepo kwa muda fulani bila mjamzito kuona dalili zozote. Ghafla mjamzito anaweza kuanza kuona dalili kama maumivu ya tumbo juu ya kitovu, kutapika, macho kutokuona vizuri, kuumwa kichwa, mkojo kuwa na rangi tofauti na kawaida, kupumua kwa shida, uchovu na maumivu ya viungo au kupoteza fahamu na “degedege“. 
Kila mjamzito mwenye dalili hizi ni muhimu aonwe na mtaalam wa afya ili apimwe na kupewa ushauri.


Sababu ya ugonjwa huu kutokea hazijulikani mpaka sasa ingawa zipo nadharia mbalimbali zinazojaribu kuelezea kutokea kwake. Mojawapo ya nadharia hizo inaelezea kuwa ugonjwa huu hutokana na matatizo ya ukuaji wa kondo la nyuma (placenta). Mishipa ya damu inayounda placenta ikikosea jinsi ya kujikita kwenye ukuta wa kifuko cha uzazi husababisha mishipa hiyo kuwa na tabia tofauti na ile ya kawaida na kusababisha mjazito kupata msukumo mkubwa wa damu na kifafa cha mimba. Kwa vile ugonjwa huu huonekana kutokea zaidi kwenye familia fulani kuliko nyingine, inaaminika kuwa urithi pia huchangia kupata ugonjwa huu. Hii inamaanisha mjamzito ambaye mama yake aliwahi kupata kifafa cha mimba ana uwezekano mkubwa zaidi wa kupata kifafa cha mimba.

Wanawake ambao wana tatizo la msukumo wa damu, kisukari, unene kupita kiasi, ugonjwa wa figo kabla ya ujauzito wana uwezekano mkubwa zaidi wa kupata kifafa cha mimba. Kwa sababu hii, wanawake wote wenye matatizo haya wanashauriwa kufuatiliwa kwa karibu na mtaalam katika kipindi chote cha ujauzito.

Mjamzito aliyepata kifafa cha mimba kwenye ujauzito uliopita, ana uwezekano mkubwa wa kupata tena.
Imegundulika kuwa iwapo mwanamke anazaa na mwanaume mwingine tofauti na aliyezaa naye awali, uwezekano wa kupata kifafa cha mimba huongezeka.
Ujauzito kwa mwanamke mwenye umri zaidi ya miaka 40 huongeza uwezekano wa kupata kifafa cha mimba.

Ingawa hakuna kinga ya uhakika ya kifafa cha mimba, wanawake walio kwenye makundi hayo yaliyoyotajwa hapo juu kuwa na uwezekano mkubwa wa kupata ugonjwa huu wanaweza kujikinga kwa kutumia vidonge vya aspirin na madini ya calcium. Kabla ya kutumia dawa hizi ni muhimu kupata ushauri wa kitaalam.
Tiba pekee ya kifafa cha mimba ni kumzalisha mjamzito. Hii ni kwa sababu ugonjwa huu husababishwa na kuwepo kwa kondo la nyumba ndani ya kifuko cha uzazi. Bila kutoa kondo la nyuma mgonjwa hawezi kupona.

Iwapo ugonjwa huu utagundulika kabla mtoto hajakomaa na kuwa tayari kwa kuzalishwa. 
Daktari anaweza kushauri mjamzito alazwe na kuangaliwa kwa ukaribu wakati ikisubiriwa kukomaa kwa mtoto. Vilevile daktari anaweza kushauri mjamzito apewe dawa ya kuharakisha kukomaa mapafu ya mtoto.


Iwapo hali ya mjamzito ikibadilika na kuwa mbaya, kumzalisha huweza kuwa ni lazima hata kama mtoto hajakomaa kwa sababu kuna hatari kubwa ya mama na mtoto kuathirika iwapo ujauzito utaendelea. 
Mojawapo ya hatari inayoweza kutokea iwapo ujauzito utaachwa kendelea ni mtoto kufia tumboni, kupoteza fahamu kwa mjamzito na kupata dalili za “degedege“, damu kupoteza uwezo wa kuganda na kusababusha mjamzito kupoteza damu nyingi, damu kuganda mwilini na kuziba mishipa, kondo la nyuma kujitenga na kifuko cha uzazi kabla ya mtoto kuzaliwa, figo za mjamzito kushindwa kabisa kufanya kazi, mjamzito kupata kiharusi (stroke) au mjamzito kupoteza maisha.


Kwenye kumzalisha mama mwenye kifafa ch mimba njia mbalimbali huweza kutumika kutegemeana na hali ya mjamzito. Kama hali sio mbaya sana na njia ya uzazi imeshaanza kufunguka, mjamzito anaweza kupewa dawa za kuanzisha uchungu na kujifungua kwa njia ya kawaida. 
Kujifungua kwa njia ya operesheni hulazimika kwa wajawazito wenye msukumo mkubwa sana wa damu na wale ambao hali zao sio nzuri au kunapokuwepo na sababu nyingine ya kujifungua kwa operesheni.

Kabla ya kujifungua, mjamzito mwenye msukumo mkubwa wa damu hupewa dawa za kupunguza msukumo wa damu.
Ili kuzuia uwezekano wa kupata “degedege“, daktari anaweza kushauri mgonjwa apewe madini ya magnesium kwa njia ya dripu.


Kwa sababu ugonjwa wa kifafa cha mimba huongeza uwezekano wa damu kuganda mwilini, daktari anaweza kushauri mgonjwa atumie dawa ya kuzuia damu kuganda.
Baada ya kujifungua, msukumo wa damu unategemewa kurudi kwenye hali yake ya kawaida katika muda wa masaa 24. Hata hivyo ni vizuri mama aliyejifungua katika hali hii kuangaliwa kwa masaa 48 kabla hajaruhusiwa kwenda nyumbani. Hii hutegemea na uwepo na nafasi ya kulaza wagonjwa kwenye hospitali.

Kwa vile upo uwezekano wa msukumo wa damu kuendelea kuwa juu moja kwa moja. Mzazi hushauriwa kupima msukumo wa damu mara kwa mara, iwapo baada ya wiki sita (siku 40) itaonekana msukumo wa damu unaendelea kuwa juu, basi hushauriwa kuendelea na matibabu ya msukumo mkubwa wa damu kama wagonjwa wengine wenye ugonjwa wa msukumo mkubwa wa damu.